13,99 €
inkl. MwSt.

Versandfertig in 1-2 Wochen
payback
7 °P sammeln
  • Broschiertes Buch

ANDAMO: Msafiri Safarini ni diwani ya kwanza kuchapishwa na mshairi wa Kiswahili, Mohammed Khelef Ghassani, mzawa wa Zanzibar anayeishi na kufanya kazi nchini Ujerumani. Ndani yake ni muakisiko wa safari yake ya ukuwaji baina ya muongo wa mwisho wa 1990 na muongo wa kwanza wa 2000. Kuisoma diwani hii ni kuyasoma maisha yake na yale yaliyomuandama, naye kuyaandama katika umri huo.

Produktbeschreibung
ANDAMO: Msafiri Safarini ni diwani ya kwanza kuchapishwa na mshairi wa Kiswahili, Mohammed Khelef Ghassani, mzawa wa Zanzibar anayeishi na kufanya kazi nchini Ujerumani. Ndani yake ni muakisiko wa safari yake ya ukuwaji baina ya muongo wa mwisho wa 1990 na muongo wa kwanza wa 2000. Kuisoma diwani hii ni kuyasoma maisha yake na yale yaliyomuandama, naye kuyaandama katika umri huo.
Autorenporträt
Mohammed Khelef Ghassani alizaliwa mwaka 1977 kisiwani Pemba na amehamia nchini Ujerumani tangu mwaka 2010.