Athari za Lugha ya Kimeru katika Kazi Andishi za Kiswahili
Shadrack Nyagah
Broschiertes Buch

Athari za Lugha ya Kimeru katika Kazi Andishi za Kiswahili

Versandkostenfrei!
Versandfertig in 6-10 Tagen
32,99 €
inkl. MwSt.
PAYBACK Punkte
16 °P sammeln!
Matokeo ya utafiti huu yanalenga kurutubisha jinsi ufundishaji wa lugha ya pili hutekelezwa. Hiki ni kitabu chenye manufaa tele kwa walimu, wakuza mitaala, watafiti na wapenzi wa lugha ya Kiswahili. Wataalamu wa Kiswahili watafaidika kutokana na data nyingi iliyokusanywa nyanjani, data ambayo inaweza kutumika katika tafiti nyingine. Lugha ya Kimeru vilevile ni lugha ambayo haijaandikiwa sana kwa hivyo utafiti huu unaitendea haki kando na kuwafungulia watafiti milango ya kuitafitia lugha hii zaidi. Walimu nao, watapata fursa ya kufahamu sehemu katika lugha ambazo huwatatiza wanafunzi. Pia, wata...