20,99 €
inkl. MwSt.
Versandkostenfrei*
Versandfertig in über 4 Wochen
  • Gebundenes Buch

KAKOFIA KEUSI
Kakofia Keusi ni mtoto anayeishi barani Afrika.
Siku moja, alitumwa na mama yake kwenda kijiji cha jirani kuwapeleka chakula bibi na babu yake, kwa sababu walikuwa wagonjwa.
Kakofia Keusi alimkubalia mama yake na kuondoka. Alipita njia ya mkato ya mwituni ili afike upesi.
Je, Kakofia Keusi atafanikiwa kufika kwa bibi na babu yake salama?
Safiri naye ili ujionee mwenyewe jinsi anavyoupita mwitu huo.

Produktbeschreibung
KAKOFIA KEUSI

Kakofia Keusi ni mtoto anayeishi barani Afrika.

Siku moja, alitumwa na mama yake kwenda kijiji cha jirani kuwapeleka chakula bibi na babu yake, kwa sababu walikuwa wagonjwa.

Kakofia Keusi alimkubalia mama yake na kuondoka.
Alipita njia ya mkato ya mwituni ili afike upesi.

Je, Kakofia Keusi atafanikiwa kufika kwa bibi na babu yake salama?

Safiri naye ili ujionee mwenyewe jinsi anavyoupita mwitu huo.
Autorenporträt
KUHUSU MWANDISHI Anna Samwel ni mwandishi wa vitabu vya hadithi za watoto kwa lugha ya Kiswahili, Kingereza na Kijerumani. Pia ni mwandishi wa riwaya za watu wazima. KAKOFIA KEUSI ni kitabu chake cha kwanza cha hadithi za watoto. Kitabu hiki kimefasiriwa katika lugha ya Kingereza: LITTLE BLACK CAPPY Kwa Kijerumani: SCHWARZKÄPPCHEN Kwa Kifaransa: LE PETIT CHAPERON NOIR