11,99 €
inkl. MwSt.

Versandfertig in über 4 Wochen
payback
6 °P sammeln
  • Broschiertes Buch

Katika kitabu hiki kumewekwa taswira ya kupingana, maisha ya Farao, aliyekosa kutii neno la Mungu, na maisha ya Musa aliyeishi maisha ya utiifu. Pia kina upendo wa Mungu ambaye kwa huruma zake zisizo na mwisho hutujuza njia ya wokovu kupitia kwa kusherehekea Pasaka, sheria ya tohara, na maana ya Siku Kuu ya Mikate Isiyochachwa. Farao alishuhudia uwezo wa Mungu lakini bado akakosa kumtii, na hivyo akaanguka katika hali isiyoweza kurudishwa nyuma. Lakini Waisraeli walikuwa salama kutoka kwa mabaa yote kwa sababu walimtii Mungu.

Produktbeschreibung
Katika kitabu hiki kumewekwa taswira ya kupingana, maisha ya Farao, aliyekosa kutii neno la Mungu, na maisha ya Musa aliyeishi maisha ya utiifu. Pia kina upendo wa Mungu ambaye kwa huruma zake zisizo na mwisho hutujuza njia ya wokovu kupitia kwa kusherehekea Pasaka, sheria ya tohara, na maana ya Siku Kuu ya Mikate Isiyochachwa. Farao alishuhudia uwezo wa Mungu lakini bado akakosa kumtii, na hivyo akaanguka katika hali isiyoweza kurudishwa nyuma. Lakini Waisraeli walikuwa salama kutoka kwa mabaa yote kwa sababu walimtii Mungu.