Usawiri wa Nyimbo za Magosi za Wanyakyusa katika Muktadha wa Tanzania
Gerephace Mwangosi
Broschiertes Buch

Usawiri wa Nyimbo za Magosi za Wanyakyusa katika Muktadha wa Tanzania

Dhima ya Elimu katika Nyimbo za Magosi

Versandkostenfrei!
Versandfertig in 6-10 Tagen
42,99 €
inkl. MwSt.
PAYBACK Punkte
21 °P sammeln!
Kitabu hiki kinachohusu 'Usawiri wa Nyimbo za Magosi za Wanyakyusa katika Muktadha wa Tanzania' kimechunguza historia ya uhusiano uliopo baina ya fasihi na jamii inayopigwa na wimbi la muktadha wa ulimwengu wa leo kupitia nyimo za Magosi za Wanyakyusa. Kitabu kinabainisha namna nyimbo teule zinavyosawiri hali halisi iliyopo nchini Tanzania kwa kurejelea muktadha mpana wa kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni. Kitabu hiki si tu kinahusu usawiri wa nyimbo za Magosi katika maendeleo ya Fasihi ya Kiswahili, bali pia ni chimbuko na historia, utamaduni, sheria na uhakimu, utawala, makazi na falsafa ya ja...