Asijue wabaya wale hawakupanga hilo litokee. Ndiyo hapo baada ya kunywa pombe kupunguza mawazo, akaja kuzima na kuamka akiwa kitandani. Kibaya zaidi pembeni yake kuwa binti mdogo umri chini ya miaka kumi na saba. Akitafakari hilo mlango unafunguliwa kwa nguvu wanaingia watu kadhaa wakiwemo polisi.
Inakuja kubainika binti alifariki dunia akiwa hapo kitandani, pia aliingiliwa kimwili na kifo chake kinasemekana kimetokana na dawa za usingizi zilizochanganywa na pombe. Kibaya zaidi ushahidi unamlenga yeye mwenyewe, na kuishia ndani.
Waliyoona nia wanajitokeza kumtetea, akiwemo Norbert Kaila na Wakili anayeitwa Grace. Mwishowe inakuja kubainika makubwa yaliyojificha nyuma ya sakata hilo.
Dieser Download kann aus rechtlichen Gründen nur mit Rechnungsadresse in A, B, CY, CZ, D, DK, EW, E, FIN, F, GR, H, IRL, I, LT, L, LR, M, NL, PL, P, R, S, SLO, SK ausgeliefert werden.