Njiani wakakutana na kundi kubwa la watu. Walipolisogelea walibaini kuna mtu aliuawa na kutupwa. Mtu ambaye hakuwa mgeni sana machoni mwao, waliyozoea kumwona mara kadhaa na kushirikiana naye. ndiyo wakaja kuvaana na habari mbaya ya kifo chake.
Uchunguzi walipouanza tu na kufikia pazuri, maadui waliamua kuchukua hatua matokeo ni Afisa mmojawapo kujeruhiwa vibaya. Mwishowe kesi ikaja kuhamishwa kwenye mwanausalama mwingine, aliyeombwa msaada kutatua kitendawili hicho.
Makubwa yakaja kuibuka
Dieser Download kann aus rechtlichen Gründen nur mit Rechnungsadresse in A, B, CY, CZ, D, DK, EW, E, FIN, F, GR, H, IRL, I, LT, L, LR, M, NL, PL, P, R, S, SLO, SK ausgeliefert werden.