Hajakaa sawa alipokea taarifa ya kusakwa na polisi kila kona, huku yule aliyempa gari akijulishwa amefariki kwa ajali ya gari. Mambo yalizunguka vibaya mno, inambidi aingie kazini kujisafisha na pia amshawishi Inspekta Ali Bongo aliyekuwa akishughulika na kesi ya waliyoshikwa na madawa ya kulevya. Ahakikishe anaamini hana hatia kwenye suala hilo, jambo ambalo linamfanya atumie ujuzi wake.
Kimbembe yule bwana ambaye alitaka kufanya kazi naye, alimwachia muswada wa kitabu husika ambao ulibeba mazito mno na alikuja kubaini ndiyo chanzo kikuu cha kifo chake. Naye anawaletea Kisanga kizito wauza unga
Dieser Download kann aus rechtlichen Gründen nur mit Rechnungsadresse in A, B, CY, CZ, D, DK, EW, E, FIN, F, GR, H, IRL, I, LT, L, LR, M, NL, PL, P, R, S, SLO, SK ausgeliefert werden.