2,99 €
2,99 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar
payback
0 °P sammeln
2,99 €
2,99 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar

Alle Infos zum eBook verschenken
payback
0 °P sammeln
Als Download kaufen
2,99 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar
payback
0 °P sammeln
Jetzt verschenken
2,99 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar

Alle Infos zum eBook verschenken
payback
0 °P sammeln
  • Format: ePub

Balaa linaanza baada ya Norbert Kaila kupokea wito wa kushiriki uandishi wa kitabu. Akikubali wito huo aliyempatia alimwazima gari yake kwenda kuchukulia mzigo. Mwishowe inakuja kukutwa ilihusika kusafirisha mzigo wa madawa ya kulevya kutoka ufukweni hadi kwenye nyumba fulani.
Hajakaa sawa alipokea taarifa ya kusakwa na polisi kila kona, huku yule aliyempa gari akijulishwa amefariki kwa ajali ya gari. Mambo yalizunguka vibaya mno, inambidi aingie kazini kujisafisha na pia amshawishi Inspekta Ali Bongo aliyekuwa akishughulika na kesi ya waliyoshikwa na madawa ya kulevya. Ahakikishe anaamini…mehr

  • Geräte: eReader
  • mit Kopierschutz
  • eBook Hilfe
  • Größe: 0.27MB
  • FamilySharing(5)
Produktbeschreibung
Balaa linaanza baada ya Norbert Kaila kupokea wito wa kushiriki uandishi wa kitabu. Akikubali wito huo aliyempatia alimwazima gari yake kwenda kuchukulia mzigo. Mwishowe inakuja kukutwa ilihusika kusafirisha mzigo wa madawa ya kulevya kutoka ufukweni hadi kwenye nyumba fulani.

Hajakaa sawa alipokea taarifa ya kusakwa na polisi kila kona, huku yule aliyempa gari akijulishwa amefariki kwa ajali ya gari. Mambo yalizunguka vibaya mno, inambidi aingie kazini kujisafisha na pia amshawishi Inspekta Ali Bongo aliyekuwa akishughulika na kesi ya waliyoshikwa na madawa ya kulevya. Ahakikishe anaamini hana hatia kwenye suala hilo, jambo ambalo linamfanya atumie ujuzi wake.

Kimbembe yule bwana ambaye alitaka kufanya kazi naye, alimwachia muswada wa kitabu husika ambao ulibeba mazito mno na alikuja kubaini ndiyo chanzo kikuu cha kifo chake. Naye anawaletea Kisanga kizito wauza unga


Dieser Download kann aus rechtlichen Gründen nur mit Rechnungsadresse in A, B, CY, CZ, D, DK, EW, E, FIN, F, GR, H, IRL, I, LT, L, LR, M, NL, PL, P, R, S, SLO, SK ausgeliefert werden.

Autorenporträt
Hassan Mambosasa ni mzaliwa wa mkoa wa Tanga nchini Tanzania, elimu yake ameipata kwenye shule mbalimbali za sekondari. Ikiwemo Jitegemee JKT, Wailes, Ubungo islamic, victory na kuja kuhitimu kidato cha sita kwenye shule ya sekondari Tambaza.

Elimu ya juu aliipata chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine (SUA), amesomea masuala ya TEHAMA akishughulika zaidi kwenye vifaa vya kompyuta.

Alianza uandishi mnamo mwaka 2006 hadi hii leo ameandika hadithi zaidi ya 40 katika mfumo wa vitabu vya mtandaoni.