2,99 €
2,99 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar
payback
0 °P sammeln
2,99 €
2,99 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar

Alle Infos zum eBook verschenken
payback
0 °P sammeln
Als Download kaufen
2,99 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar
payback
0 °P sammeln
Jetzt verschenken
2,99 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar

Alle Infos zum eBook verschenken
payback
0 °P sammeln
  • Format: ePub

Baada ya kufanya kazi ya kwenye kisa cha TARISHI kwa mafanikio mkubwa, matatizo hayakuisha yote. Sababu bado kuna pandikizi kubwa lilibaki, ambalo liliapa lazima lingekuja kulipa kisasi kwa yaliyotokea. Hata kama ABK na Simpson walinyongwa haikuwa mwisho.
Ndiyo hapo inabainika kuna mpango hatari sana na kama ungefanikiwa basi dunia nzima ingeingia kwenye migogoro. Hasa mtaifa mengi kuwa na chuki na Marekani na Israel. Yote hayo yalianzia kwenye kutaniko lililosuka mpango mzima. Lililofanyika ukanda wa Gaza nchini Palestina. Wanausalama wakaja kuambulia namba za tiketi za watu ambao…mehr

  • Geräte: eReader
  • mit Kopierschutz
  • eBook Hilfe
  • Größe: 0.32MB
  • FamilySharing(5)
Produktbeschreibung
Baada ya kufanya kazi ya kwenye kisa cha TARISHI kwa mafanikio mkubwa, matatizo hayakuisha yote. Sababu bado kuna pandikizi kubwa lilibaki, ambalo liliapa lazima lingekuja kulipa kisasi kwa yaliyotokea. Hata kama ABK na Simpson walinyongwa haikuwa mwisho.

Ndiyo hapo inabainika kuna mpango hatari sana na kama ungefanikiwa basi dunia nzima ingeingia kwenye migogoro. Hasa mtaifa mengi kuwa na chuki na Marekani na Israel. Yote hayo yalianzia kwenye kutaniko lililosuka mpango mzima. Lililofanyika ukanda wa Gaza nchini Palestina. Wanausalama wakaja kuambulia namba za tiketi za watu ambao walitoka Gaza kwenda nchi nyingine na wangeingia Ramallah kupitia uwanja wa ndege ambao upo karibu na mji huo.

Ikawa ni mwanzo wa kuwafutilia wale wa Kutoka Gaza harakati ambayo ilijawa na upelelezi na michezo mingine ya kuviziana. Mwishowe majasusi walikuja kufanikiwa kazi hiyo.


Dieser Download kann aus rechtlichen Gründen nur mit Rechnungsadresse in A, B, CY, CZ, D, DK, EW, E, FIN, F, GR, H, IRL, I, LT, L, LR, M, NL, PL, P, R, S, SLO, SK ausgeliefert werden.

Autorenporträt
Hassan Mambosasa ni mzaliwa wa mkoa wa Tanga nchini Tanzania, elimu yake ameipata kwenye shule mbalimbali za sekondari. Ikiwemo Jitegemee JKT, Wailes, Ubungo islamic, victory na kuja kuhitimu kidato cha sita kwenye shule ya sekondari Tambaza.

Elimu ya juu aliipata chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine (SUA), amesomea masuala ya TEHAMA akishughulika zaidi kwenye vifaa vya kompyuta.

Alianza uandishi mnamo mwaka 2006 hadi hii leo ameandika hadithi zaidi ya 40 katika mfumo wa vitabu vya mtandaoni.