3,49 €
3,49 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar
payback
0 °P sammeln
3,49 €
3,49 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar

Alle Infos zum eBook verschenken
payback
0 °P sammeln
Als Download kaufen
3,49 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar
payback
0 °P sammeln
Jetzt verschenken
3,49 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar

Alle Infos zum eBook verschenken
payback
0 °P sammeln
  • Format: ePub

Lifa hajakata tamaa, baada ya kushindwa mpango wake zaidi ya mara moja, kisa uwepo wa Salmin Zultash. Anarejea kwa mara nyingine, akiwa na mpango kabambe, uliyotokana na agano la zama lililofungwa miaka mingi sana iliyopita.
Historia ya kizazi kilichoingia agano hilo, inafunguliwa kwa upana. Viumbe hao wakiwa na ukinzani na wengine waliyotokana na agano. Maisha ya zamani yaliyojaa uhasama na ukatili wa kila namna. Mauaji yakitendeka kwa kasi kubwa pale maadui wawili wakutanapo.
Napo enzi hizo kukawa na siri ambayo ilizikwa mbali sana, wenyewe waliizika waliingia agano la kufuta
…mehr

  • Geräte: eReader
  • mit Kopierschutz
  • eBook Hilfe
  • Größe: 0.39MB
  • FamilySharing(5)
Produktbeschreibung
Lifa hajakata tamaa, baada ya kushindwa mpango wake zaidi ya mara moja, kisa uwepo wa Salmin Zultash. Anarejea kwa mara nyingine, akiwa na mpango kabambe, uliyotokana na agano la zama lililofungwa miaka mingi sana iliyopita.

Historia ya kizazi kilichoingia agano hilo, inafunguliwa kwa upana. Viumbe hao wakiwa na ukinzani na wengine waliyotokana na agano. Maisha ya zamani yaliyojaa uhasama na ukatili wa kila namna. Mauaji yakitendeka kwa kasi kubwa pale maadui wawili wakutanapo.

Napo enzi hizo kukawa na siri ambayo ilizikwa mbali sana, wenyewe waliizika waliingia agano la kufuta kumbukumbu zao wasiikumbuke kusudi kuilinda wakiamini ni tumaini lao la baadaye. Inafikishwa kwa mtu mmoja, ambaye hajulikani ndiyo ailinde. Hilo ni agano jingine, lililopelekea mauaji makubwa kwa aliyeijua siri ile.


Dieser Download kann aus rechtlichen Gründen nur mit Rechnungsadresse in A, B, CY, CZ, D, DK, EW, E, FIN, F, GR, H, IRL, I, LT, L, LR, M, NL, PL, P, R, S, SLO, SK ausgeliefert werden.

Autorenporträt
Hassan Mambosasa ni mzaliwa wa mkoa wa Tanga nchini Tanzania, elimu yake ameipata kwenye shule mbalimbali za sekondari. Ikiwemo Jitegemee JKT, Wailes, Ubungo islamic, victory na kuja kuhitimu kidato cha sita kwenye shule ya sekondari Tambaza.

Elimu ya juu aliipata chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine (SUA), amesomea masuala ya TEHAMA akishughulika zaidi kwenye vifaa vya kompyuta.

Alianza uandishi mnamo mwaka 2006 hadi hii leo ameandika hadithi zaidi ya 40 katika mfumo wa vitabu vya mtandaoni.