3,49 €
3,49 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar
payback
0 °P sammeln
3,49 €
3,49 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar

Alle Infos zum eBook verschenken
payback
0 °P sammeln
Als Download kaufen
3,49 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar
payback
0 °P sammeln
Jetzt verschenken
3,49 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar

Alle Infos zum eBook verschenken
payback
0 °P sammeln
  • Format: ePub

Faraja ambayo waliitegemea baada ya kuingia uongozi mpya, iligeuka chungu zaidi ya shubiri baada ya maisha kuwa magumu. Vitu kupanda bei maradufu, kodi kuwa kubwa na gharama za huduma zingine kuzidi kuliko kawaida. Ikawa ni afadhali ya uongozi uliyopita kuliko huo mpya.
Kila mahali wananchi walibanwa, wasiangaliwe hali zao za kimaisha zipo namna gani. Mkaa wa kupikia ulianza kupigwa vita, kisa kundi la wanasiasa waliyoshirikiana na wafanyabiashara kuuza mitungi ya gesi. Waliyoishia kufanya hayo, ili watu waone mambo magumu wakimbilie huko.
Ajira nayo ikawa kitendawili, vijana wenye
…mehr

  • Geräte: eReader
  • mit Kopierschutz
  • eBook Hilfe
  • Größe: 0.39MB
  • FamilySharing(5)
Produktbeschreibung
Faraja ambayo waliitegemea baada ya kuingia uongozi mpya, iligeuka chungu zaidi ya shubiri baada ya maisha kuwa magumu. Vitu kupanda bei maradufu, kodi kuwa kubwa na gharama za huduma zingine kuzidi kuliko kawaida. Ikawa ni afadhali ya uongozi uliyopita kuliko huo mpya.

Kila mahali wananchi walibanwa, wasiangaliwe hali zao za kimaisha zipo namna gani. Mkaa wa kupikia ulianza kupigwa vita, kisa kundi la wanasiasa waliyoshirikiana na wafanyabiashara kuuza mitungi ya gesi. Waliyoishia kufanya hayo, ili watu waone mambo magumu wakimbilie huko.

Ajira nayo ikawa kitendawili, vijana wenye sifa na ufaulu mzuri wapo mtaani wakihaha huku na huko. Kisa hawana pesa ya kutoa rushwa, au mtu ambaye wanamjua kwenye mfumo. Wakaishia kujiongeza na kuwa mitaani wakifanya biashara ndogondogo.

Licha ya yote hayo baadaye miaka ya uchaguzi ikikaribia, hali inarudi kuwa nafuu kwa muda mfupi. Wale waliyolalamika na kulaani wanaishia kusifia. Wakisahau huyo aliyeshusha bei za vitu, ndiye yeye aliyeacha zipande na kuchangia.

"watu wamekuwa na akili kama za kuku, hawana kumbukumbu uwanja waliyopigwa jiwe. Wakiwekewa mtama kidogo wanaishia kuja mbio sana. Tutegemee ashinde na zaidi kwenye uchaguzi ujao. Kweli hili ni Zimwi Letu", Zumo


Dieser Download kann aus rechtlichen Gründen nur mit Rechnungsadresse in A, B, CY, CZ, D, DK, EW, E, FIN, F, GR, H, IRL, I, LT, L, LR, M, NL, PL, P, R, S, SLO, SK ausgeliefert werden.

Autorenporträt
Hassan Mambosasa ni mzaliwa wa mkoa wa Tanga nchini Tanzania, elimu yake ameipata kwenye shule mbalimbali za sekondari. Ikiwemo Jitegemee JKT, Wailes, Ubungo islamic, victory na kuja kuhitimu kidato cha sita kwenye shule ya sekondari Tambaza.

Elimu ya juu aliipata chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine (SUA), amesomea masuala ya TEHAMA akishughulika zaidi kwenye vifaa vya kompyuta.

Alianza uandishi mnamo mwaka 2006 hadi hii leo ameandika hadithi zaidi ya 40 katika mfumo wa vitabu vya mtandaoni.